![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
king kaka - round one lyrics
[verse]
it is i (i)
muliambiwa na who? (who)
ulini-missile osama bin mta-do? (do)
kwa mic mi’ ni mike kushinda sonko (we wacha!)
na na-run nai kushinda sonko (we wacha!)
na siwachi kabisa
si unajua niko na charisma ya e-sir
tangu jo anipe torch na chance (chance)
niko mtaa zote kama odi dance (mashinani)
na mi’ ni m-timeless kushinda noel
na zungusha ka mosquito coil
kuna wale wanachezwa tv na tunajua sio talent
first cl-ss mimi na sio bow wow challenge
dame wako aki ni-meet ndio atakuwa ako kissed
tangu niingie wana-migrate kama wildebeest
kama morning glory i say niko ndani
na na-talk dirty kama maina na king’ang’i
kwani wata-do?
niambie wata-do?
wakuje na nancy drew hawatapata clue
kwani wata-do?
niambie wata-do?
ma-kings wako kibao na simaanishi wengi
yaani wamekunywa na maubao wanaeza afford tu kibao
ndio maana kwa shows wanakula mambao, wametupa mbao
hata ma-queens wao waniletee siwezi wapea hata kama nimembao
كلمات أغنية عشوائية
- darkcrown - once again lyrics
- tose proeski - luda mala lyrics
- dark quarterer - the entity lyrics
- paul wall - clap lyrics
- keller williams - best feeling lyrics
- 54 40 - seventeen on lyrics
- darkified - howlings from the darkness lyrics
- dark avenger - the white of your skin lyrics
- dark horizon - the weeping lyrics
- infernal - drowning in the chalice of sin lyrics