kevo kay - watanikubali lyrics
intro
uwoi woii! aaa ahaa kevo kay mara tenana
briba mmmh nanana
producer joe
verse 1
ndio siku ya kwanza, kwa tasnia ya mziki mimi natumbukia
kina w_lly tuva, watanitafuta interview kunitia
mpole kijana, bila dredi swagger ivi watanikubalia
ama ntakubalika, kesho waende insta waanze kunitukania
bridge
ahe ahe bila mbwembwe skendo ivi wao watanifuata insta aaa
kwa runinga ngoma zangu wataagizaaa hey
na vipi zitakua comment za mtandao wa twitter aah
kwa youtube watamind kunifuatia ah aaah eya,heeey
chorus
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
verse 2
heeey
ka nadia katambe,sio rahisi kaimba mukami
nikubali nikane? ndio natumbukia ivo sijui
wataona wanitukane, vuguvugu naimba mziki gani
kisha,wanipake tope, ninyamaze kimya sio wa visirani
nimefunzwa upole tangu utotoni na mama yangu,wakinipiga dondi nitoe wapi nguvu nirudishe?
nilivyo mnyonge nitoe wapi wamatusi ubunifu,mi mdini na inakataa,kioo cha jamii taa ni waangazieeeee
bridge
ahe ahe bila mbwembwe skendo ivi wao watanifuata insta aaa
kwa runinga ngoma zangu wataagizaaa hey
na vipi zitakua comment za mtandao wa twitter aah
kwa youtube watamind kunifuatia ah aaah eya,heeey
chorus
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
watanikubali hao
hivi watanikubali hao
hivi watadhani sauti sina
mistari sina waone wanipotezee
wa tv radio prisenta
kweli ana kiki mbona nimcheze
mapromota mameneja
uyu hana biashara atoke akwende
moyo utaniuma sana
mwenzenu njifiche nianze nilieee
aiyeeee aiye uuuuuo
aahi mama mama mama
mama mama
aaaaaah
كلمات أغنية عشوائية
- yage - save the fear slave lyrics
- 187 strassenbande - projektil im defender (snippet) lyrics
- d'angelo - spanish joint (live) lyrics
- lala widy - mendem kangen lyrics
- shaqisdope - cali love lyrics
- amlach - enea freestyle lyrics
- kingglobby - honey chanell diss track lyrics
- callux x laz - tone change lyrics
- kumar - failure of haters lyrics
- falcko - analyse 2 lyrics