
ken demacra - poeza كلمات أغنية
ken demacra
poeza lyrics
intro
dollar boy oyeeeh
verse 1
leo nimeona nikuje kwako hata siogopi
(aaaaiiiiiih)
the love of my life sitakuwacha kwa shida
(aaaaiiiiiih)
nimengoja sana nikupimie nakupenda
(aaaaiiiiiih)
wenye wameposesiwa na chuki washike njia
(aaaaiiiiiih)
mapenzi kama darasa (darasa)
tufunzwe kama hisabati (hisabati)
upole wako urembo wako tuombee kila siku
leo nimeona nikuje kwenyu niwaoleze na wao
hata niko tajari kuzungumza nao
najua ni ngumu nilinganishe na mbao
tena sina nikununulie za mbao
ila sij_penda (sij_penda)
k_mpoteza mrembo kama
(kama wewe)
moyo w_ngu nakupa wewe wewe (aaaaiiiiiih)
moyo poеzee poezeee poezee
sasa poezee
moyo w_ngu poеzeee
poeza moyo sasa poezee
moyo poezeee w_ngu poeza
verse 2
nimeona buda wako mkali sana
hataki kuona mtu karibu nawe
mimi tatizo sina
nafikiria hata uhuna wewe
wasiwasi amani hapa hakuna
nikutazama macho naona nyako
eti jonny boko
moko moko
upendi koko
tena nikipewa nafasi
moyo w_ngu hutulia basi
ikuwe refu mita ya basi
nakulinda kama kikosi
naamini utasikia maneno haya
jina lako tamu unaiitwa leya
style zako za nywele sio mbaya
mazungumzo yameshika usikate waya
sasa poezee poezee poezee
moyo poezee
moyo w_ngu poezee
sasa poezee poezee poezee
moyo w_ngu poezee
poeza poeza poeza
moyo w_ngu poeza
asubuhi nikiamka nakuona
usijeniacha tena
carroti za limuru tunatafuna
unanifururaia yes bana
sasa poeze poeza poeza
moyo poeza eeeeh
moyo w_ngu poeza
كلمات أغنية عشوائية
- khari (makesmusic) - you're mine (tell me) كلمات أغنية
- jenzen guino - you're still the one كلمات أغنية
- swavay - shooter كلمات أغنية
- taiman - bad girl كلمات أغنية
- rolldice - right there كلمات أغنية
- grouplove - shake that ass كلمات أغنية
- shading - reset كلمات أغنية
- matt monro - i've grown accustomed to her face كلمات أغنية
- dns - covid-19 كلمات أغنية
- fuyen - tiempo كلمات أغنية