
kayumba - umeniweza feat linah كلمات أغنية
umeniweza baba, umeniweza mama
tulivuka viunzi pamoja kwa kushikana mikono
ukawa upande w-ngu mwili mmoja hatukuishia kwenye midomo
shida matatizo tulivuka pamoja
haukunitupa mkono
ukanifunza mapenzi njia moja
michepuko ina vikomo
hukupagawa na hili jibu kati yaani
tamaa hukuipa nafasi yaani
ukanitia moyo nitapata nami
kwani ridhiki mtowaji maanani
hukupagawa na hili jibu kati yaani
tamaa hukuipa nafasi yaani
ukanitia moyo nitapata nami
kwani ridhiki mtowaji maanani
nijivunie nani kama si wewe
mengine sitamani vyote napata kwako wewe
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee unaniweza
ooh kama mboga na kombeleza
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee umeniweza
ooh ukinishika najilegeza
umeniweza baba, umeniweza mama
ooooh
tabasamu mpenzi w-ngu tujenge family
sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha
una kisu kikali, kula nyama usijali
si unajua silali, bila kufika safari
tule chumvi na tuufike uzee
wa minya minya nyanye tuwapuuze
kabla kulala unipigie zeze
kitandani linibembeleze
nijivunie nani kama si wewe
vingine sitamani vyote napata kwako wewe
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee unaniweza
ooh kama mboga na kombeleza
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee umeniweza
ooh ukinishika najilegeza
kunichombeza
kubembeleza
umeniweza
kama mboga na kombeleza
kunichombeza
kubembeleza
umeniweza
ukinishika najilegeza
كلمات أغنية عشوائية
- tristan marez - hate me later كلمات أغنية
- kurisugk - counterfeit! كلمات أغنية
- the subconscious - midnight in rome كلمات أغنية
- smokingskul - dum waiter كلمات أغنية
- devon gilfillian - brown sugar queen كلمات أغنية
- mercury city - smile كلمات أغنية
- summerbruise - dead daddog 20/20 كلمات أغنية
- frank wild & kafuu - upír dex كلمات أغنية
- stoopkeed - mental connection كلمات أغنية
- enesence - never let you go كلمات أغنية