
kapaso bkp - usinioneshe singeli كلمات أغنية
intro
adasco mtu mbad
verse
na kwenye mapenzi sina hasara
sijawahi kujutia
ukija kichwa kichwa
ndugu zako watakulilia
sijawaii kupenda
sijui kung’ang’ania
hata nikukute baba yangu
hunioni mimi kulia aah
chorus
shiiiiii
mwanangu usinionyeshe
demu wako nisije nikapita nae
oya usinionyeshe
bwana ako nisije nikaruka nae
usinionyeahe chura wako
nisije nikapita nae
oya usinionyesha
danga lako kesho utanikuta nae
verse
usiniulize alosabadilisha sielewi
kwanza mi mwenyewe najionea kiza
oya aliesabisha simjui
mi vampire nang’ata na kupulizaaaah
akili yangu imesha vurugwa
dawa za kunywa nimeoga
nishakuwa fisi sielewi
nakula mpaka mizoga
aloniloga sijui kafa
dawa za kuoga nimenawaah
nakwambia sielewiiiiiiii
mpaka sierеwi tena
chorus
mwanangu usinionyeshe
dеmu wako nisije nikapita nae
nisije nikapita naee eeeeh
oya usinionyeshe
bwana ako nisije nikaluka nae
usinionyeahe chura wako
nisije nikapita nae
oya we oya we
nisije nikapita naee
oya usinionyeshe
danga lako kesho utanikuta nae
ukinikuta nae we usishangae
bridge
okay amini kwamba mzee wa bwax
hapa mtoto wa nje ya ndoa
ugoko wa mende biskuti ya chuma
kataa tuone
chuma kwa chuma cheche
we juma mahazi msondo
aah nisalimie mwanangu super mtenje
wak_muitwa pascal msindo mtoto wa azam
beberuuuu kapaso apa g_nius from tanzaniaaa
aiii anaitwa kaiza ladern
the don eeeh
we hamfrey mieno wanang wa bkp brand
outro
oya akili yangu imesha vurugwa
dawa za kunywa nimeoga
nakwambia sielewiii iiiii
mpaka sielewi tena
كلمات أغنية عشوائية
- anthem - the beggar and the proud young lady كلمات أغنية
- anthem - you don't know كلمات أغنية
- anthony callea - the prayer كلمات أغنية
- anthony callea - don't tell me كلمات أغنية
- anthony callea - into your heart كلمات أغنية
- anthony callea - lost in summer كلمات أغنية
- anthony callea - take it to the heart كلمات أغنية
- anthony callea - wanna be the one كلمات أغنية
- anthony callea - when i get there كلمات أغنية
- anthony callea - almost كلمات أغنية