
jux - wivu lyrics
eiyeh,
niamini leo hii, sitamani mwingine tena,
kazi zangu mishemishe,
nitarudi nyumbani mapema,
unachonipa baby, sitokaa nikuumize,
na zile raha unazonipa, wewe,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, unanipa raha,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, ila -ilaa
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
naandika ngoma ya mapenzi nakuona wewe,
na vinanda vya bob vya bembeleza,
nish-goma kwingine, kwako nipewe,
umeniteka mazima nimelegeza,
and everything i do for you,
is from my heart as you know,
na kila siku mimi napambana we ubagamee,
ah ah ah aah, x4
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
كلمات أغنية عشوائية
- alper erözer feat. suat aydoğan - hadi gel yanıma lyrics
- vita alvia - masa tenggang lyrics
- eben franckewitz - lambo lyrics
- budi doremi - tolong lyrics
- aman singh - rahari me lyrics
- sarah blasko - another lyrics
- kim sung kyu feat. punchnello - what did i say lyrics
- xandria - don't say a word lyrics
- anjan dutt - kaal theke thik manush habo lyrics
- martin smith feat. 정성하 - 미쳤나봐 lyrics