
jux. - unaniweza lyrics
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
Random Lyrics
- lil salamander - imas pare nemas pare (real verzija) lyrics
- lou reed - good taste lyrics
- marie laforêt - ivan boris et moi lyrics
- arco's angel - ready for nothing lyrics
- tue minh - khi nao thi be an duoc to yen sao? lyrics
- berri txarrak - gezur bat mila aldiz lyrics
- mike bloomfield - mood indigo lyrics
- the duskfall - the option and the poison lyrics
- peravich punnatrakul - lost in the woods lyrics
- nektar - cast your fate lyrics