jux. - unaniweza كلمات الأغنية
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
كلمات أغنية عشوائية
- why we love - lucky one كلمات الأغنية
- cole dt - funhouse كلمات الأغنية
- ung $habba - flight mode كلمات الأغنية
- tamtam - beast كلمات الأغنية
- intiflow - sound_of_it كلمات الأغنية
- unorthodox poet - don't forget it كلمات الأغنية
- negus - senhor ninguém كلمات الأغنية
- slow club - one day all of this won't matter anymore كلمات الأغنية
- nine lashes - the glorious كلمات الأغنية
- gungahu - ukuri n'umwumvikano pt.1 كلمات الأغنية