![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
jux. - unaniweza كلمات الأغنية
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
كلمات أغنية عشوائية
- 1flisss - dem nights كلمات الأغنية
- tamara melek - main attraction كلمات الأغنية
- wwo - bez żadnej kopii - skit كلمات الأغنية
- lonely wolf yd - fvck respect كلمات الأغنية
- petit voyou - moi moi moi كلمات الأغنية
- ted bee - il dado è tratto كلمات الأغنية
- lil choppa - nail tech كلمات الأغنية
- buta - rich كلمات الأغنية
- kiddy satã - bag recheada كلمات الأغنية
- annie elise - fine. كلمات الأغنية