
jux. - unaniweza كلمات أغنية
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
كلمات أغنية عشوائية
- w a s p - saturday night cockfight كلمات أغنية
- caterina valente - tutto il resto كلمات أغنية
- awkward romance - bleeding absolutes كلمات أغنية
- uwe banton - love light كلمات أغنية
- television - blank generation (live) كلمات أغنية
- valensia - mayke & veronique كلمات أغنية
- vaughn monroe - be brave beloved كلمات أغنية
- that very time i saw - i only wanted you to know everything is alright كلمات أغنية
- ultraphonic - al green day كلمات أغنية
- val doonican - yesterday كلمات أغنية