![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
jux. - nisiulizwe lyrics
[intro]
yo, yo, you’re so fine
baby (hey!)
i do this for you, oh no
mmmh
(s2kizzy, baby)
[verse 1]
nahisi niko kwenye njozi
huba imenikolea, kuamka sitamani (kuamka sitamani)
yeah
tena na kusihi ulilinde penzi
mwenzako nimenogewa, hoi taabani (hoi taabani)
[chorus]
na hata nikiumwa we’ ndio unanitibu
w_ngu daktari, kukupenda ni wajibu
nisiulizwe maswali
baby, nipe taratibu
huo utamu wa asali
kukupenda ni wajibu
nisiulizwe, no, no
[post_chorus]
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe, mmm)
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
ah, kwako nitang’ang’ana tu (ntang’ang’ana nawe)
eh, eh_eh
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
yeah, yeah
sababu i love you
yeah, yeah
i love you
mmm, yeah
[verse 2]
naanzaje kuku_cheat nakifata kipi?
hakuna jipya duniani nishafanya utafiti
tena umewaacha [mbal_e], ulipo we ‘hawafiki
maombi yangu toka kale, nimepata rafiki
mmm
[hook]
na hata nikiumwa we’ ndio unanitibu
w_ngu daktari, kukupenda ni wajibu
nisiulizwe maswali (yeah, yeah)
baby, nipe taratibu
huo utamu wa asali
kukupenda ni wajibu
nisiulizwe, no, no
[outro]
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe, mmm, yeah)
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawewe, hey)
kwako nitang’ang’ana tu (ntang’ang’ana nawe)
eh, eh_eh
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
yeah, yeah
sababu i love you
yeah, yeah
i love you
كلمات أغنية عشوائية
- the meads of asphodel - from eagle to cross lyrics
- jaap van de merwe - pluizen in de wind lyrics
- badger - listen to me lyrics
- hypnos insomnia - stress lyrics
- don williams - you've got a friend lyrics
- burt bacharach - go ask shakespeare lyrics
- bumble beezy - intro lyrics
- bobby vinton - i apologize lyrics
- heazyboymc - смертельный каратист (deadly karateka) lyrics
- poet // fbn crew - nie mam czasu lyrics