![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
jux. - nidhibiti lyrics
verse 1
una hali gani unayefanya moyo w_ngu unadadarika
niko taabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka
umeniweka rehani changu kiwiliwili moyo umeuteka
umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa
kama mapenzi kitabu ungekuwa kurasa ya katikati
ukichanwa wewe stori haiendelei
aaaah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati
ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi
bridge
honey honey (honey) w_ngu wa ubani bani
mimi ndege wako sa manati ya nini
nakupa ruhusa weeee!
chorus
nidhibiti nidhibiti nidhibiti
nakupa ruksa weee!
nidhibiti nidhibiti nidhibiti
verse 2
ewee baby eweee baby mke w_ngu mume w_ngu
mimi na wee hadi milele
ooooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi sijali nisharidhia
yayaah
wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaaa
upendo kwetu faradhi umepita tsunaa
rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa
na mimi kwako ni radhi kufa kuzikana
waambie wavunje n_z_ si tumeshindakana
bridge
honey honey (honey) w_ngu wa ubani bani
mimi ndege wako sa manati ya nini
nakupa ruhusa weeee!
chorus
nidhibiti nidhibiti nidhibiti
nakupa ruksa weee!
nidhibiti nidhibiti nidhibiti2
كلمات أغنية عشوائية
- rise shine - dirty tricks lyrics
- carole king - at the club lyrics
- indiana bible college - majesty lyrics
- danielle dax - defiled lyrics
- chiara galiazzo - due respiri lyrics
- julio iglesias - si el amor llama a tu puerta lyrics
- a fine frenzy - the sighting lyrics
- marvin gaye - where are we going lyrics
- marvin gaye - sad tomorrows lyrics
- glee cast - i wanna sex you up lyrics