jovi'al - unanikosha lyrics
baby zima taa tunapoianza hii sakata
hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
wanichezesha na kwaito
baby nipe tena, tena
niwe chachu ya birimbi
unanibembeleza
mwakipesi na sheringe
niite niite hata ki_utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
niite niite hata ki_utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
najijua najijua
nikipenda wivu unanisumbua
tena unanishanigundua
mi kwako najishebedua
yaani mambo kwako sambamba
nikiwa nawe niko salama
kitandani mechi kandanda
tunacheza kandanda
niite niite hata ki_utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka dеka
niite niite hata ki_utani
jaguar mwenyеwe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
كلمات أغنية عشوائية
- as told by ginger - and she was gone lyrics
- as told by ginger - as told by ginger theme song lyrics
- as told by ginger - camp caprice song lyrics
- as told by ginger - copper colored ponies lyrics
- as told by ginger - courtney's song lyrics
- as told by ginger - hello stranger lyrics
- as told by ginger - i spy a witch lyrics
- as told by ginger - jingle bells-carl foutley's version lyrics
- as told by ginger - salem barbecue lyrics
- as told by ginger - splinter in my heart lyrics