jovi'al - harusi lyrics
harusi ni ya mola eh, hee
leo nalikamilisha aah
ubachela kwaheri, kwaheri
nabadilisha maisha, aah
umenipa maruani, hata siamini
umenikubali
umejua kuniheshimisha mbele ya waumini
umefunua umwari
mashallah, mejaliwa uzuri
wa sura na tabia, aah tena
hee wallah, tulizungushe bakuli
wenye nacho kuchangia, aah aah
leo naoa, naoa
naoa mie
leo naoa, naoa
naoa mie
(mmmm mmmh mmh)
machozi ya furaha yananitiririka
yaani kama ni kama mazihara, naolewa mie
zichepuke balaa, umeniona mimi mbele ya wengi
umenipa ushujaa, nitake nini mie?
watu wamependeza, ona wanavyocheza
baba umeniweza, ng’ang’ania
mashallaah hujajaliwa kiburi
usemacho wasikia, aah ah
hee wallah, tulizungushe bakuli
wenye nacho kuchangia, aah aah
leo naolewa, naolewa
naolewa mie
leo naolewa, naolewa
naolewa mie
wale wa ubwabwa
wamekamata matonge matonge
leta champagne
tugoganishe vikombe vikombe
ah kule wa kucheza
wanazungusha miuno si __
leo ni kushiba
tutoke ndani vibonge vibonge
كلمات أغنية عشوائية
- linda ronstadt - el sueno (dreaming) lyrics
- wolfgang petry - ein ganz normaler tag lyrics
- boyz ii men - mama lyrics
- mc lars - buddhism for dummies lyrics
- dj clue - what the beat lyrics
- woody guthrie - dust pneumonia blues lyrics
- hell rell - same damn time freestyle lyrics
- crippled black phoenix - release the clowns lyrics
- wolfgang petry - der sommer von damals lyrics
- mavis staples - last train lyrics