![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
jeshi (ke) - bash kejani كلمات الأغنية
[intro: oloso]
oh, na, na, na, na, na, na
(bash imekua ikiendelea)
oh, na, na, na, na, na, na
(but sijui ni nini wanakujanga, there is just, like, a bash)
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na (kuna bash kejani)
(wasichana na vijana wanakuja, wanashikana, wanaingia, hapa)
oh, na, na, na, na, na, na
oh, na, na, na, na, na, na (kuna bash, kuna bash, kuna b_)
[pre_hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
[verse 1: andybolo]
bash imeshika na iko kejani
funga mlango, watu wote wako ndani
mi sitaki tumefunza kina nani
lakini kama ni madem, waingie ndani
na ni mamzinga zimejaa, tuko flow, eh
na zimeshika, zime_nice zikitusho, eh
wale wasoro wamepitia diro, eh
ukik_mbuka, hivo ndio tuliwasho, eh
[pre_hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
[verse 2: bh]
kuna bash kejani, kuna bash kejani, ati
leta nare ndio niwashe kingale, ati
ikiwaka, basi shika kibale, ati
mdogo mdogo, usijaze kitambi
juu ziki_slap, ziki_slap, basi kunywa kimaji, ay
leta moto ndio niwashe majani, ay
weka kachai na useti sukari, ay
(weka kachai na useti sukari, ay)
[pre_hook: oloso]
utapitia dirisha
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
kaa umeboeka mtaa
kuna bash kejani, bash kejani (kuna bash)
ata wambui na wanja (ata [?])
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
na mamboko wamejaa
wako bash kejani, bash kejani (wako bash)
[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (yeah, yeah)
kuna bash kejani
[verse 3: oloso]
leo tulikuwa na bash kejani
watoto ndani, hadi walami
lakini si unajua sisi kina nani?
wale mamorio wa huku mtaani
okay, kuna nduru gizani
pia nimekataa kutoa miwani
maswali mingi, achia afande
jina ni solo, uliza mandem
[hook: oloso]
nasema bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
bash kejani, bash kejani (oh, na, na, na, na, na, na)
(oh, na, na, na, na, na, na) kuna bash kejani
كلمات أغنية عشوائية
- it'sbill - acha كلمات الأغنية
- ricky vazquez - runaway كلمات الأغنية
- redemption draweth nigh - feint كلمات الأغنية
- lil tony official - period كلمات الأغنية
- retroyse & whyspurky - don't stop (speed up) كلمات الأغنية
- krishnahazar - divine كلمات الأغنية
- kep1er (케플러) - straight line (kor ver.) كلمات الأغنية
- julia alexa - antidote كلمات الأغنية
- corbon amodio - roadkill~ كلمات الأغنية
- youra & mandong - 모시질감 (moshi feels) كلمات الأغنية