
jerebet - sifai...wanipenda كلمات أغنية
verse 1:
ni rahisi kujidharau
mimi ni wa dhambi sina, nguvu
kweli mi ni rafiki wako, yesu?
sifai (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai), fai
nang’ang’ana kunena ukweli
nashangaa ananitumia, (mimi? yeah)
shida ni najua mapungufu, yangu
sifai, (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai). fai
chorus
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda), pendaaa
verse 2:
nimekuja kujua nimejiangalia sana
nikidhani ni uwezo w_ngu sio wako bwana
nikajikwamiza nikibeba mzigo
eti sina, roho, mfanano wako!
kajua ni adui na uongo, uongo
kama wakati wa adamu na hawa
hata kama musa alijishuku alitenda makuu ya yesu
ooh,ooh,ooh
ya yesu, ya, ya yesu
ooh, ohh, yeahhh
ya yesu, ya, ya yesu
yeah!
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matеndo
kwani wanipenda (penda), penda (pеnda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
bridge:
hakika, wema nazo fadhili, yeah
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu, oooh
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
wanipenda, penda, penda
wanipenda, penda, penda…
كلمات أغنية عشوائية
- kill the giant - party in my pants كلمات أغنية
- king omega deimoz - don't stop now كلمات أغنية
- kings kaleidoscope - dust كلمات أغنية
- frank sidebottom - anarchy in timperley كلمات أغنية
- mario bautista - tu y yo كلمات أغنية
- brigitte bardot - invitango كلمات أغنية
- musicômico - alones كلمات أغنية
- hope city - greater than the mountains كلمات أغنية
- schoolly d - livin' in the jungle كلمات أغنية
- young guns - bulletproof كلمات أغنية