kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jcb watengwa - kijiti كلمات أغنية

Loading...

[intro]
mm
yo, daz, daz
…cha jero (nana_na_na)
yeah

[verse 1]
nishawaka kijiti kwa kifupi nipo fit
futi sita kukuweka chini, ukichimba biti
utumie vibuyu kw_ngu ujikute maiti
nipo high very good, nishachanganyikiwa na kijani kibichi
nnapo kaa mafala hawajikiti, topic ya leo ni kijiti
nikatie cha jiti, nijikate, nikadate mwanao nina stress
wametukamata ndani ya taxi ‘na ma best
tuna kesi kituo cha polisi, ‘mess
kwenye hii verse kichwa kinaenda race
nakuwa crazy digirii, nawagonga kwenzi, niki_puff chibbah kama lumelenzi
nakuwa bright kama mw_nga wa mbalamwezi
it’s gonna be alright, [?]
tuta_push ma benz kishenzi boo
machizi wa kijenge juu (yeah, yeah, y’all)
uh, huh

kijiti
sema tena
twendeni wote, (yeah), sema tena wote
kijiti
upande huu siwasikii (oh, yеah)
uh_huh, uh_huh
kijiti
(ha_ha_ha)
oh, yeah
nimefurahi sana, oh yeah
(ha_ha_ha)
[verse 2]
bora jana sababu baada ya kufokеwa na babu, viboko na kunishikisha adabu baada ya kunikuta na kushabu kwenye vitabu kipindi nna demu wa kiarabu
tuna_, mpaka hijabu inanuka habu
acha hizo na stori za kaya mfululizo, umeshamdatisha ma men manizzo
kila kitu ukimuuliza anajibu, “for shizzle”, na stori za kwenda mtoni likizo, kuwacheki kina wizzle
mama yake hanipendi tena, nasikia juzi kwao kaondoka na antenna (uh_huh)
sijui nini tena kilichompata
tuna_, wote lakini wewe unadata
leo kondakta mara kesho umekamatwa, ‘au ni kijiti?
halafu ni jiti, mtaani kwetu sikufichi, half au pinch?
halafu unasizi kwa upole unanyongorota rasta kama [dizzy]
unaboronga maskani halafu unasema, “sorry”
mxm, we vipi bwana? (jinga sana)
au ni_

kijiti
(oh, yeah)
uh_huh
sema tena
kijiti (oh, yeah)
sema tena
kule mwisho, kule mwisho, uh_huh
kijiti
uh_huh
yo, alright, yo
[verse 3]
kuna mbio za vijiti lakini sio mbio za kijiti
sikufichi kijiti kiko fiti zaidi ya mbio za vijiti, ‘j_po kinauzwa jiti
stimu kama unapanda lift, unachimba biti na kelele mbele ya watu, ‘mtiti
mpaka hii track inakuwa hit bado niko kijiti
vinawaka tu viberiti mpaka nakosa njiti
mama muuza, namuona mwasiti
namkaribisha siti anaketi, history ya last week, akajiseti
(nikasokota msokoto mwingine, fresh)
nikajifunika kwenye blanket
holy sh_t, akanishi_, (oh, no)
akavua sketi, kwenye [?], ana tattoo ya 50_cent
akasogeza kreti na kuanza kunipeti
nikamuomba kiberiti akatoa [?]
ooh
otea nilipiga nini?
mbavu
hihihi, dah, hehehe
sababu ya

kijiti
oh, yeah, oh, yeah
uh_huh, sema
kijiti
let’s boogie, boggie busi boogie y’all (boogie it out), sema
kijiti
twende tena ya mwisho (? in da house, y’all), sema, uh_huh, hapo
kijiti
aha, kwa furaha zaidi (yo, daz, uh_huh), sema
kijiti
oh, yeah, oh, yeah
watu kibao, aha
kijiti
unanyoosha mkono juu halafu unasema hivi
kijiti

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...