
jay melody - nahodha كلمات أغنية
[intro]
ah, ah, ah
ah, ah, ah
ah, ah, ah
jini x66
[verse 1]
taharuki ndani, k_mefifia
mizozo balaa, aibu, kulia
sio kawaida, tumesikia
nahodha wa meli, eti kukaa nyuma
oh, oh_oh
husda imemnyima
oh, oh_oh
barafu kwenye mtima
oh, oh_oh
asikilizwi [?]
oh, oh_oh
na ye mtu mzima
[pre_chorus]
kwani yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
chombo kinazama
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
cha kwenda mrama
[chorus]
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
chombo kinazama
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
cha kwenda mrama
[verse 2]
na siri za ndani, kuhadithia
shoga katamani, jamvi kukalia
udugu, amani, ‘tulifikia
hisia chomboni, mwishowe twazamia
[bridge]
oh, oh
kabla ya kupenda, pima
oh, oh
wapenda kwa akili nzima
oh, oh
usiwe mchimba kisima
oh, oh
ukatumbukia mazima
[pre_chorus]
kwani yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
chombo kinazama
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
cha kwenda mrama
[chorus]
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
chombo kinazama
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
yu wapi nahodha?
cha kwenda mrama
[instrumentals]
music
كلمات أغنية عشوائية
- melody's echo chamber - from pink they fell into blue كلمات أغنية
- death grips - more than the fairy كلمات أغنية
- hasteez x loko - #nbaballot كلمات أغنية
- pede b - ginsommer كلمات أغنية
- connor - wit it كلمات أغنية
- connor - live free (rita's song) كلمات أغنية
- t.m.w - fuck tha cops كلمات أغنية
- reem riches - pop it (remix) كلمات أغنية
- masta ace - coronation كلمات أغنية
- yung swayde - priorities كلمات أغنية