kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jay mbote - dear loard كلمات أغنية

Loading...

intro

nina kila sababu ya kukupa maua yako
ingekuwa adhabu isingenipa nilichonacho
mdogo, mbuya na jeje yote kw_ngu hayo macho
wanayatumbua wakijiuliza kifatacho

verse 1

maana kila nachokinyanyua kinabaki chini
mpaka nawavua imani wasiniamini
mama kashauza viwanja pesa ananipa mimi
naisoma namba na namba haijacholeka chini

nikajaribu biashara haikuzaa matunda
nikaonekana fala, familia ikaniona kama zoba
maneno mengi jalala nikitupiwa navunga
nikaitwa chawa, kiherehere, bado nikabunda

sasa nani aniokoe kwenye haya majanga
gizani nilipotokea siuoni mw_nga
sidhani kuna mwingine zaidi ya baba
niko chini nasubiria wako msaada

chorus
dear lord, dear lord, nishike mkono
maadui kibao wananiwinda bila sababu
wananiwinda mimi nasijui kwanini

wewe unajua vitu vingapi unanilinda
unajua ni muda gani umenipangia
unajua hata maneno wanapoongea

bado nawapotezea maana najua unajua
wapi mimi nimetoka, unajua
uchawi wanaotumia, unajua

mpaka ndugu zangu nawatilia shaka
wananitazama magumu ninayopitia

verse 2

ilizidi kuwa ngumu hali ya maisha
nilijitahidi majuk_mu yakawa mazito
nililazimika kusimama kipindi dingi hayupo
mama hana shilingi, hana kazi, hazipo

nikahitajika nipande basi nije mjini kwa mjomba
nikahisi hii nafasi itanifanya nisogee mbele
k_mbe undugu ni udhaifu, kila mtu kivyake
nikahisi nimepata daraja la kunivusha mbele
nilipofika nikajitoa, mama aliniambia naye
vizuri kutaabika ili upate chako mwenyewe
sikujua urithi hauko kwa mjomba, hakuniambia nielewe
muda ulipofika ukweli ulijieleza wenyewe

sasa nani aniokoe kwenye haya majanga
gizani nilipotokea siuoni mw_nga
sidhani kuna mwingine zaidi ya baba
niko chini nasubiria wako msaada

chorus

dear lord, dear lord, nishike mkono
maadui kibao wananiwinda bila sababu
wananiwinda mimi nasijui kwanini

wewe unajua vitu vingapi unanilinda
unajua ni muda gani umenipangia
unajua hata maneno wanapoongea

bado nawapotezea maana najua unajua
wapi mimi nimetoka, unajua
uchawi wanaotumia, unajua

mpaka ndugu zangu nawatilia shaka
wananitazama magumu ninayopitia
outro

niko chini lakini bado ninasimama
kwa sababu wewe unajua safari yangu

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...