kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jambo squad - wajomba lyrics

Loading...

[intro: ordinary]
weh (wewe)
alusi mabele (alusi mabele)
msalimie, zaiko langa langa
eeh, zaiko langa langa bana
nampenda sana

[chorus]
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba

[verse 1: ordinary]
ah
dili ikitiki sema ‘hasta la vista
sio polisi lakini nitawashika
(mmm)
kitu imejipa
tunachana tu mawingu na mapipa
(ordy)
nipo juu kama nyota
nimevunga kwa fasi, nameremeta
ukijificha gizani tunalitupa
(?)
tumewamiss wajomba
tumekuja na midude
(?) na sio kamba, ya kwamba tuje tuzuge
hata’
(alo)
tamu kama burger
ngumu k_meza lakini inapitaga
(?)
ina vibe kama lager
ukizidisha misumari unataga
unajikuta kitambo umepitaga
amekataa ugali, ‘masela wanasemaga
[chorus]
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba

[verse 2: n_gga c]
ah
wajomba, ‘ndio ma zimba
wakina koffi na akina awilo longomba
walipiga marimba, wakacheza rumba
ukutane na nyoka halafu amevua gamba
weh, weh, ‘weh ni kirambas
achana na watoto wa juzi bado wana pampers
wajomba wanakufuzu hata bila handas
ma_profeshenali, yaani wako high_class
(woo!)
wajomba’
wakina malananga na kinyonyolomba
hawakatai dеmu eti kisa mimba
watafanya kila kitu mambo yaende bomba
wao ni baruti, ‘kama wе ni mwamba
wajomba (yo)
sio washamba (uh_huh)
kwenye k_mi na nane ‘huf_ka, no kuremba
kuna mabwenyenye na vimbao_mbamba
kama mamba wanang’ata, man
no kuremba
[chorus]
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba
uh!

[verse 3: ordinary]
kiuno bila mfupa ni cha yondo sister
sema wajomba walikula kwa picha
pembe la ng’ombe ‘haliwezi jificha
mjomba nchumari yaani hapo chacha
(yeh)
komando kipensi, unaik_mbuka ile picha?
bonge la nguna, halafu mboga kwenye jagi
tumewamiss wajomba
zikipigwa sema, ‘maji
(he_he, maji maji)

[verse 4: n_gga c]
tumewamiss, miss (uh)
wajomba zetu sisi (heh)
that’s why dedication hii kwa fasi
kwanza’
(?) kama tupo iramba
kina kanda bongoman ‘na papa wemba
jean claude van’ damme chana msamba
nimemmiss jackie chan akiruka samba
white, yeah, cheusi
nimemmiss jackie chan akiruka samba
[chorus]
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba
wajomba
wajomba
miss wajomba
tumewa miss wajomba

(instrumentals)

noiz arachuga, he_he

(instrumentals)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...