j93 - michuzi كلمات أغنية
randu boy
verse 1(j93 )
yeah aaah yeah
toka kiwalani sio mtoto wa kigogo
naishi mzizima j_po mtoto wa kigogo
maisha poa, ila sio mtoto wa kigogo
navyowasumbua kama twitter na kigogo
it’s all about some money
sifanyi for fun
familia inataka msomi mezani
mama anasema niongeze mjengo nyumbani
babe anasema go harder get some money
so
kila chocho kila site kila pango ,me siwazi fasta naingia
iwe halali au haramu ya magendo ,siachi kuif_kuzia
sometimes me silali kama popo, kuhakiki pesa inaingia
serious ukileta miyeyusho, fasta chini ninakuf_kia
i got bills to pay
i never come to play
vitu vyangu k_maliza pesa yangu ni pay
me nalipwa kwa maneno i don’t randomly say
nachotaka ni michuzi on my mind all day
chorus (j93 & mazegele boy)
nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
nachotaka ni michuzi(nachotaka ni michuzi) mazegeleee
verse 2(mazеgele boy)
nachotaka ni michuzi
weka pеsa sijivungi
kwenye vita ya mapene tunatoka misituni
haina maana pamba kali kwenye pochi ni sifuri
tukipanda kwenye meza panda kwenye visituli
ukianza kwenye flow sura mpaka roho safi
muziki umebadili maisha sasa hivi mambo safi
wanangu siwapi buku buku natembeza kaki
mungu baba ndio muamuzi na ameshaita kati
mwenzenu nikiona beat mithili ya tai kaona mzoga
pesa haitaki waoga
pesa isije kufanya ufanye mapenzi ya jinsia moja
money power si ndio slogan
nimeamua kuzisaka kwa jasho langu me sitaki kuomba
chorus (j93 & mazegele boy)
nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
so nachotaka ni michuzi (nachotaka ni michuzi nachotaka ni michuzi)
nachotaka ni michuzi(nachotaka ni michuzi)
(woh chapati za kutosha….)
outro
j93 na mazegele boy
j93 heeeey na mazegele boy
tunachotaka ni michuzi ni michuzi
tunachotaka ni michuzi ni michuzi
randu anachotaka ni michuzi anachotaka ni michuzi
oya tukishapata michuzi tunafanya makamuzi
tornado vibe….
كلمات أغنية عشوائية
- diib - unabomber كلمات أغنية
- david shawty - wizard 101 كلمات أغنية
- hangad - umawit kayo! كلمات أغنية
- images of eden - war room كلمات أغنية
- provinz - großstadt كلمات أغنية
- yung tyran - renaissance كلمات أغنية
- el mini, yunglian mediocre broke boi & barbozza - japón كلمات أغنية
- ocean wisdom - gruesome crime كلمات أغنية
- vacant territory - i lost 3 pairs of shoes last february كلمات أغنية
- koleq - psyko كلمات أغنية