
ibraah - one night stand كلمات أغنية
[paroles de “one night stand” feat. harmonize]
lalalala
aiyete iyeee
konde boy
mi baba yangu sio magufuli
ama kenyatta wa kenya
nikudanganye mugabe
ni uongo sio sawa
hata nyota yangu mi ni ya sufuri
sio wa kupata tena
kula yangu tu mazabe
sina mchongo kama chawa
what i believe, what i believe
no money no love
yupo ulompaga moyo
akaugawa vipande
nimeumbwa na wivu
mi na wivu moyo w_ngu sio mbovu
hakuwaga mchoyo
kutwa miguru upande
kwanza mapenzi yamezaliwa bombay
masong kwenye majani (ayee eh)
utaweza mwana wa mondy
amemshinda sharukani (ayee eh)
agiza nyama na pombe
ah tulewe twende chumbani (ayee eh)
nikupe mhogo wa jang’ombe
kisigino kiwe begani
baby all i need mi siwezagi kuzunguka
one night, one night, one night stand
yaani nipе nikupe kabla hakuj_pambazuka
one night, one night, onе night stand
(konde boy)
siku hizi kupenda penda k_mepitwa na muda
one night, one night, one night stand
yaani akikupa kula akisusa mwingine atakuja
one night, one night, one night stand
usijidanganye umemkamata
mtoto wa mjini
magoli mengi samata
hata uzame chumvini
ila kuna wazee wa migodi
hawagongagi hodi
ujifanye mjanja unachunga
ila ndo w_n_lipa kodi
utadanganya anaenda jogging
k_mbe yuko lodging
mwenzako anajaza mimba
uko gym unajaza body
what i believe, what i believe
no money no love
yupo ulompaga moyo
akaugawa vipande
nimeumbwa na wivu
mi na wivu moyo w_ngu sio mbovu
hakuwaga mchoyo
ah, kutwa miguru upande
kwanza mapenzi yamezaliwa bombay
masonge kwenye majani (ayee eh)
utaweza mwana wa mondy
amemshinda sharukani (ayee eh)
sio unakunywa tu mapombe
unajua anayelipa nani? (ayee eh)
twende nkakupe guu la ng’ombe
ukaugulie nyumbani chii!
baby all i need mi siwezagi kuzunguka
one night, one night, one night stand
yaani nipe nikupe kabla hakuj_pambazuka
one night, one night, one night stand
siku hizi kupenda penda k_mepitwa na muda
one night, one night, one night stand
yaani akikupa kula akisusa mwingine atakuja
one night, one night, one night stand
asa beiby nipe (nipe nikupe)
acha za kung’ata makucha (nipe nikupe)
mara unapandisha unashusha (nipe nikupe)
mida inakwenda (nipe nikupe, tumalizane leo leo)
eh mbuzi kafa kwa bucha (nipe nikupe)
mbona saa unayeyusha (nipe nikupe)
ukichelewa nitasusa (nipe nikupe)
hebu sogea kwa chamber (nipe nikupe, tumalizane leo leo)
كلمات أغنية عشوائية
- hi-c - sluggin off dah slime كلمات أغنية
- спать хочется (spat hochetsya) - прости (i am sorry) كلمات أغنية
- pavement - in the mouth a desert (live at le grand rex, paris) كلمات أغنية
- seph cury - my old friend كلمات أغنية
- lil mg (usa) - dinero كلمات أغنية
- guttersnipes - no one كلمات أغنية
- unén (fin) - sky كلمات أغنية
- plexy - close to me كلمات أغنية
- the kramers - you at 33 كلمات أغنية
- marc g - what you want كلمات أغنية