kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

harmonize - mwaka wangu lyrics

Loading...

[intro]
yaw_yaw
jeshii
la_la_li_la_la, mmh, la_la_la
chiiii
eeh

[verse 1]
ni mwaka mpya mambo mapya sina dhambi nimetubu
na pesa ntazichanga change nizijaze kwa kibubuu
j_po hata kakibanda nikajenge huko pugu
maana nyumba za kupanga nishazichoka vurugu
eti kwani wao waweze wana nini (mmmh)
na mimi nishindwe nina nini
nishachoka siku zote kuwa wa chini
wengine wanakula kipupwe ma ofisini

[pre_chorus]
mliosema haolewi olewi mbona kaolewa
mliosema hapewi hapewi mbona amepewa

[chorus]
mwaka huu ni w_ngu kutimiza ndoto zangu
nasema mwaka huu ni w_ngu kwa baraka za mungu w_ngu, dear lord
hakuna mungu kama wewe babaa (eh, hakuna)
kama wewe yawee (eh, hakuna)
hakuna mungu kama wewe babaa (eh, hakuna)
kama wewe yawee (eh, hakuna)
[verse 2]
huu mwaka nakusanya mavumba ninunue gari yangu
na wale waliosema mimi ni mguma waje wamuone mwanangu
huu mwaka marafiki wasio na faida nawaweka pembeni
wanaokufata wakati wa shida ili wapate hafueni
niwaonyeshe walionidharau kama mungu anaweza
nami nipande dau niwasalimu kingereza

[bridge]
when god say yes n0body can say no
(when god say yes n0body can say no)
when god say yes n0body can say no
(when god say yes n0body can say no)

[pre_chorus]
mliosema haolewi olewi mbona kaolewa
mliosema hapewi hapewi mbona amepewa

[chorus]
mwaka huu ni w_ngu kutimiza ndoto zangu
nasema mwaka huu ni w_ngu kwa baraka za mungu w_ngu, dear lord
hakuna mungu kama wewe babaa (eh, hakuna)
kama wewe yawee (eh, hakuna)
hakuna mungu kama wewe babaa (eh, hakuna)
kama wewe yawee (eh, hakuna)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...