![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
harmonize - best woman lyrics
mmmh mmmh mmmh
cough cough cough
mara k_mi nifungwe jela miaka mingi kama mandela
ama nifiege huko huko bora nifiege huko huko
kuliko kukuona unateseka mum ukiteseka moyo unapata tabu
(cough)
kuna muda mwingine nakukera bhasi nakupoza navidera mitaa
na mazaga ya kariakoo na vitu vya baridi upozee koo yanaisha tunacheka
vimba mama ringa deka maana una kila sababu
hivi uliwezaje kila siku kunibeba kwa mgongoo nisijichafue na udongoo
ukanipangusa matongo tongoo aah mama aah mama i love you mama mama love you
mama penye nia pana njia namuomba mungu ndoto yangu ije timia
siku name niweze kuyafikia hata robo ya mazuri uliyonifanyia
i love you mama i love you mama mama love you
(cough)
man hakuna kama mama yangu mimi
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
yani kuna mama na mama yangu mimi
mama ni mama
ooh mama
mama ni mama
i love you mama
mama ni mama
i love you mama
mama ni mama
i love you maaa
mama ni mama
maaaa
mama ni mama
mama ni mama
(cough)
its your birthday mama vaa pendeza hujazeeka acha kujiendekeza
wajukuu zako watakufundisha kucheza onja na kawine kama ukiweza mama
(ooh mama i love you)
(cough)
yeih
mama yangu wewe ni nguzo maisha mw_ngu taa imulikayo mbele yangu
maneno yako mama yanaongoza maisha yangu ooooh mama i love you mama
hivi uliwezaje kila siku kunibeba kwa mgongoo nisijichafue na udongoo
ukanipangusa matongo tongoo aah mama aah mama i love you mama mama love you
mama penye nia pana njia namuomba mungu ndoto yangu ije timia
siku name niweze kuyafikia hata robo ya mazuri uliyonifanyia
i love you mama i love you mama mama love you
hivi uliwezaje kila siku kunibeba kwa mgongoo nisijichafue na udongoo
ukanipangusa matongo tongoo aah mama aah mama i love you mama mama love you
mama penye nia pana njia namuomba mungu ndoto yangu ije timia
siku name niweze kuyafikia hata robo ya mazuri uliyonifanyia
i love you mama i love you mama mama love you
(cough)
man hakuna kama mama yangu mimi
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
mama ni mama
yani kuna mama na mama yangu mimi
mama ni mama
ooh mama
mama ni mama
i love you mama
mama ni mama
i love you mama
mama ni mama
i love you maaa
mama ni mama
maaaa
mama ni mama
mama ni mama
كلمات أغنية عشوائية
- stray kids - 아니 (any) lyrics
- bruce springsteen - one minute you're here lyrics
- reece brunke - over me lyrics
- lucky csosa - remember lyrics
- massita - surprise lyrics
- amir tataloo - ba to 2 lyrics
- girl in the mirror - xl means xtra love lyrics
- foxminor - fast (ft. villegustav) lyrics
- vultures vengeance - lord of the key lyrics
- inf1n1te & konus - products lyrics