
harmonize - anajikosha lyrics
(this one is a banger)
ahaahahaha jeshi, awiii!
(daxo chali)
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
jumamosi kakesha _n_lewa
jumapili kanisani, anajikosha
eti sipendi vya kupewa
bango _n_lipa shabani, anajikosha
shoga jana nilinoga
na nywele yako umetisha, anajikosha
nimesharudi naoga
jioni nitairudisha, anajikosha
kwanza hata usitume tena
tayari nishazila, anajikosha
hasa baby nitakula nini
zilikuwaga ni hasira, anajikosha
penzi bichi makele bwana
nimehama nipo mbweni, anajikosha
tena huku ni baridi sana
huhitaji hata feni, anajikosha
awii, awaaa
awii, awaaa
awii, awaaa
awii
asa lelele, lelele lelelelee
lelele lelelelee
tuimbe tena, lelele lelelelee
lelele lelelelee
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
baby baby umeniweza kwa bedi
simk_mbuki juma wala mohamedi
ila mbona simu yake sasa
hataki nijue password, anajikosha
nitanyoosha chuma
pengine shida mtandao, anajikosha
nikipiga kwa watoa huduma
maelezo ni kibao, anajikosha
mi siwezagi za kucheza cheza
na mshipa ngiri, anajikosha
mara ghafla kaihama meza
anakimbia ya pili, anajikosha
hio ndinga ilikamatwa
nikampa leseni, anajikosha
k_mbe aliena kuvimba tabata
na kademu pembeni, anajikosha
awii, awaaa
awii, awaaa
awii, awaaa
awii
asa lelele, lelele lelelelee
lelele lelelelee
tuimbe tena, lelele lelelelee
lelele lelelelee
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
anajiko, anajikosha
anajikoo, anajikosha
yebo, yebo, yebo
كلمات أغنية عشوائية
- monty - play off lyrics
- jerm ball - i know lyrics
- tennis court - tennis court - tribute to lorde lyrics
- sarbel with irini merkouri - se pira sovara (diva) (sidi mansour) lyrics
- feral (swe) - creatures among the coffins lyrics
- art tatum - you took advantage of me - digitally remastered 97 lyrics
- ares - meisje lyrics
- blaiz & vaga - matière lyrics
- gabe dixon - even the rain lyrics
- omegatypez - take me high - original edit lyrics