![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
haitham kim - sema lyrics
Loading...
we ndo ulifanya najiuliza
wapi napata wakuntuliza
nafsi ya moto hupuliza
penzi ni moto ukaniunguza
bila kujali kama nami ni binadamu
imenipotea hamu
ila kihali salama nakula vitamu
usijesogea kw_ngu
tena fata yako njia ya kawaida
sito come sito come kwako na
shida sina ya kupendwa na weii
uu baby
no no no shida sina hamu sina kitu cha kuagiza wala cha kuhongwa na weii
nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
كلمات أغنية عشوائية
- hồ quang hiếu - trước khi bão giông kéo tới lyrics
- el fantasma - ranchitos escondidos lyrics
- harvest - lie down lyrics
- sweetheart the band - the land of one hundred million kings lyrics
- tom ferry & kelli-leigh - home lyrics
- the ragshakers - claws lyrics
- bohemia - studio lyrics
- redline - mercury lyrics
- hamid benmeziane - je meurs en toi lyrics
- flou - libre lyrics