gosby – oh noo كلمات اغاني
intro
vile si hufanya oh noo wanabaki sema mama, oh noo tumeshindikana oh noo babu toka mwaka jana
[ chorus – gosby ]
vile si hufanya oh noo wanabaki sema mama, oh noo toka mwaka jana like oh noo babu tumeshindikana oh noo
[ verse 1 – gosby ]
oh no i’m in my own sh!t , ride around town in my own whip wanatuma vitu nafanya maombi
usiku sitoki nafanya maombi
yeah
they ask n-gg- who dat wakati wanajua n-gg- who dat
don’t touch me n-gg- move back wanataka flow tatu mi nakupa
ukisikia paah jua bruh kimenuka wanaanza kusepa bruh kimenuka
where i’m from dawg we don’t do that utakula shata mpaka utajuta
ukitaka ngumi ntakuumiza, wanangu wanabang mpaka dumila
watchu gonna do now gozi’s back nilikua wapi wanajiuliza
nipe nyagi mi sivungi supu ya pweza na chips vumbi
mbuzi kalamba chumvi anaenda kuchinjwa tuna mitungi
[ chorus- gosby]
vile si hufanya oh noo wanabaki sema mama, oh noo toka mwaka jana like oh noo babu tumeshindikana oh noo x 2
[ verse 2 – izzo b ]
yeah
hustle ile mbaya kwenye kona mpaka huu mziki uje kupay
na daily tunashusha tu mangoma j-po wanabana airplay
na kitaa wanatufeel ma n-gg- kila kona peace hakuna shida
tukicheck time ndio yetu mida gosby izzo b tunaleta shida
huh cash cash tunataka ikihusu pesa tuko fasta
noti ama coin tunadaka na asante tunashukuru kwa sadaka
paah yeah we running and my n-gg- keep on shinning
na ma vibe ni post we keep on vibing na vile si wa pole gusa moto we useme sorry
do it like we worry kitaani si ma baller we ballin’
[ chorus – gosby ]
vile si hufanya oh noo wanabaki sema mama, oh noo toka mwaka jana like oh noo babu tumeshindikana oh noo, x 2
[ verse 3 – gosby ]
d-mn he we go again n-gg- we go baadae
n-gg- they ain’t talk bout em we ain’t worry bout em
nimetoka bank check nilivyokua mzito bro mf-koni na m 8
do it look like we left off bad and boujee n-gg- wrap it then {splash}
fvck around we shoot you clap you like dudududu
uk-mbuke abc like vidudu utasema tu gozi don’t do do do
yeah umekaa chini vu vu puuh unipeleke kisutu
wakili kibata, msando huku tundu lissu
chorus
vile si hufanya oh noo wanabaki sema mama, oh noo toka mwaka jana like oh noo babu tumeshindikana oh noo, x 2
[ outro – gosby]
mchaka mchaka chinja mchaka mchaka chinja mchaka mchaka chinja yeah mchaka mchaka chinja mchaka mchaka chinja yeah tumewachinja mchaka mchaka chinja yeah tumewachinja
كلمات أغنية عشوائية
- eddie edm › eddie (edm) – feels like كلمات اغاني
- liam clancy › liam clancy – farewell to tarwaithie كلمات اغاني
- tapiri › tapiri – funky life كلمات اغاني
- hd4president › hd4president – mouth fulla golds كلمات اغاني
- claire lynch › claire lynch – all the diamonds in the world كلمات اغاني
- ana cirre › ana cirré – siempre contigo كلمات اغاني
- divine › divine – sock them كلمات اغاني
- yngn1ck › yngn1ck – music box كلمات اغاني
- l1l gh0st dawg › l1l gh0st-dawg – nuuut! كلمات اغاني
- tayong › tayong – cluj كلمات اغاني