gigy money - papa lyrics
kimamba on the beat
nampa nampa nampa papa
nampa nampa nampa papa
nampa nampa nampa papa
nampa nampa nampa papa
akitaka na ugali wa dona -namsongea
atake nini tena -namtendea
tiba yaki daktari napona
naacha magongo natembea
atake nini tena
sijawaga na mapene
napenda safari
zile rhumba masebene
motema na ngai
natamani aseme anachotaka nimpatie
natamani ailoeshe navyokata nimpatie
na si anapendaga sana samaki we mpatie
nampa papa
sangara kibua haitoshi we mpatie
nampa papa
nampa nampa nampa papa
nampa nampa nampa papa
shida inakuja wakiniona nae wananuna eeh
kwenye stori zetu nimtajaga ee wanauchuna ee
hata kwenye simu yangu ukipiganga we wanaguna ee
wamekusema ni uvumilivu wala huruma ee
hawajui nimenasa mie
namba tasa mie
ye funguo na kitasa mie
natamani aseme anachotaka nimpatie
natamani ailoeshe navyokata nimpatie
na si anapendaga sana samaki we mpatie
nampa papa
sangara, kibua haitoshi we mpatie
nampa papa
nampa nampa nampa papa
nampa nampa nampa nampa papa
na si anapendaga sana samaki we mpatie
nampa papa
sangara, kibua haitoshi we mpatie
nampa papa
nampa nampa nampa papa
كلمات أغنية عشوائية
- cormier gordon - off to chase my rainbow lyrics
- cormier gordon - point me a direction lyrics
- cormier gordon - lying 'bout where you're lyin' lyrics
- cormier gordon - i'll be there for you lyrics
- cormier gordon - if the phone don't ring lyrics
- cormier gordon - distant as the stars lyrics
- cormier gordon - dance with me lyrics
- cormier gordon - back to the business of living lyrics
- corinne bailey rae - i won't let you lie to yourself lyrics
- lito y polaco - sicario del barrio lyrics