
flier - sambaratika lyrics
polisi ni wa tajiri
sheria ni ya maskini
ushuru ni ya mafia
uhuru ni ya pr
shahada hizo karatasi
elimu nayo maridadi
kenya hii hakuna kazi
walishapea mashangazi
manabii walitabiri
wengi wakuamini
system ni ya majambazi
sasa tunajuta
shahadah hizo hazitoshi
elimu siku hizi pochi
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
toa jam, toa jam
mheshimiwa yuko nyuma huyo anacome
wananchi wamefunga njia kama slum
saa ving′ora zinalia kama ambulance
walimeza evidence
mashahidi waka change ma statement
wengine saa ni past tense
familia w_n_lia kuna foul play
katiba hio hawafwati
buda kama huna ganji
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
oh yea
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
Random Lyrics
- born low - the tensions too much lyrics
- hbk johndoe - og zaza lyrics
- joel plaskett - snowed in lyrics
- meron addis - sight of me lyrics
- king_garrett, cyber 4-2-0 - addiction lyrics
- witchbox - hold ur breath! lyrics
- gxlden child - bulletproof lyrics
- hashi_mono - white devil '21 lyrics
- awaken - a rose for a tragedy lyrics
- bahja rodriguez - ydk lyrics