fadha king - pepea lyrics
yeah……….loloooh loloooh loloooh
fadhaking tena
hayaelezeki mapigo ya moyo w_ngu yamesimama
hayaelezeki kinywa kizito siwezi semaa
hayabebeki nliyobeba mazito moyoni jam
hayasauliki kinachoniumiza ni mazoea
napiga cm, napiga, napiga ikikata
napigaa, natuma sms, natuma
an_z_soma, anavunga moyo
sindano za sumu, kaudungaa kilema
sitembei, kanivunja, najua bila yeye mi siwezi
na ndio maana ananitesa
ohh penzilimepepea
limepepea
limepepea
wajanja wamenzidi kete
limepepe mhhhh limepepea mhhhh
limepepea si ndio yeye alisema tuzikwe wote
loloooohh loloooohh lolooloohh
au nenda unapoenda, unapoamini utapata furaha
uliokosa kw_ngu nenda, sikulaani ila dunia duara
ninavolia, si unapenda
so kuniacha umenitangazia mabaya
sio hadhi yako nenda ukua nami nilikulazimisha aahaaa
napiga cm, napiga, napiga ikikata
napigaa, natuma sms, natuma
an_z_soma, anavunga moyo
sindano za sumu, kaudungaa kilema
sitembei, kanivunja, najua bila yeye mi siwеzi
na ndio maana ananitesa
ohh penzi limepepea
limepepea
limepepea
wajanja wamenzidi kеte
limepepe mhhhh limepepea mhhhh
limepepea si ndio yeye alisema tuzikwe wote
loloooohh loloooohh lolooloohh
napiga simu, napiga, napiga ikikata
napigaa, natuma sms, natuma
an_z_soma, anavunga
كلمات أغنية عشوائية
- emmure - felony lyrics
- kittie - cut throat lyrics
- whitney houston - nothin' but love lyrics
- honor society - magic lyrics
- cassie steele - crash my party lyrics
- sleeping at last - birdcage religion lyrics
- styles p - am i in the right game lyrics
- mohombi - in it for the love lyrics
- colt ford - twisted lyrics
- sean paul - she want me lyrics