ezzy skillz - mida mibovu lyrics
yeah
mida flani hivi
si tushaizoea
ndiyo mida yetu au sio
mida mibovu nje na wana kibao
hatari wachawi w_nga tunapisha nao
mbishe za boda mida flani wanaokota abiria
kama wakuja unaweza juta unaweza kuta
maana wahuni wanataka nafasi
ukipata pasi basi na pasi
uko na manzi umetoka party
hauna wasi bebe anachat
unakatiza mitaa ya kati
ile kuhamaki upo mtu kati
(mida mibovu ile kuhamaki upo mtu kati)
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
si unajifanya mwamba bisu uko nalo mkononi
eti haujui me nani
me naipanga kali pisi inakushika ugoni unabaki huna kitu tu ndani
utakuja kushtuka
uko na bukta
unajuta
uko kitandani
me mkali wa hizi nukta ukinivuta
ntakushusha
na hawata kutamani
ukijifanya bishoo
utakutana na ngeta
tuna lay low
hizo mambo hatuwezi leta
usijifanye we much know mjini wenyewe tumekuleta
tuna lay low
usije ukahisi umetuteka bro
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
writted by ezzy sk!llz
2020©
كلمات أغنية عشوائية
- maayaa - more lyrics
- рич (reech) - пора валить (time to leave) lyrics
- shinsei kamattechan 神聖かまってちゃん - ton'neru トンネル lyrics
- kelsie may - driving lyrics
- barracano - auu lyrics
- asbo slipz - a million miles away lyrics
- tears 2 follow - hoes lyrics
- mona haydar - suicide doors lyrics
- cameron sanderson - hail of bullets lyrics
- lila downs - cuando me tocas tú lyrics