ethan muziki - giza lyrics
[intro]
he
madem
acha tu
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
woi woi woi woi no no
story time, ethan muziki time
[verse 1]
nikiwa rima, nilipatana na msichana malaika
mrembo tukiwa pale umoja
tukitoka shule mikono pamoja
my first crush, we lost touch
high school nikapelekwa ocha
lakini bado niliwachocha, nikawachota
kuingia campo
nikasema nitasoma nitashindaga daro
asubuhi walevi kwenye mtaro
anasa na hizo pesa za karo
na bado nakimbizana na caro
silver tongue, nilipatiw_nga
lugha lazima angeitana
bingo, nimeshapata mama
ako singo, lakini condition
[pre_chorus]
anataka attention, anataka vacation
me niko na noti ya leo mbaka kesho
attention, tena vacation
hawezi kuwa naughty bila compensation
[chorus]
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
akina dada
giza
nilikosea
[verse 2]
nika_tarmac tarmac after campo
tafuta job acha story za warembo
oh no, it was never easy
hauwezi sample, wote umalize
i met so many ladies
tukakunywa pesa za deni
kama hausafishi nyumba
chunga usiite wageni
siku nyingi zikapita sana
kabla penzi ikabisha tena
huyo dem alinionyesha mambo
maisha hainga praco
dem wako ni wako akiwa kwako
akitoka anakuzungush_ga circle
sako kwa bako ako na mwenzako
wanacheza tapo
[pre_chorus]
anataka attention, anataka vacation
me niko na noti ya leo mbaka kesho
attention, tena vacation
hawezi kuwa naughty bila compensation
[chorus]
kweli akina dada, wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
kweli akina dada, wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
akina dada
giza
nilikosea
labda w_n_lipiza
[bridge]
(woi woi woi ona)
simu siku hizi ndio adui
chunga usichizi vitu hujui
ndio maana siku hizi mi sikagui
nilishafundisha
utazungushwa sana
[chorus]
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
kweli akina dada wamenionyesha giza
ama nilikosea labda w_n_lipiza
كلمات أغنية عشوائية
- rise and fall - the noose lyrics
- rise and fall - failure is as failure does lyrics
- rise and fall - forked tongues lyrics
- the paddingtons - sorry lyrics
- the paddingtons - stop breathing lyrics
- the paddingtons - tommy's disease lyrics
- the paddingtons - panic attack lyrics
- the paddingtons - worse for wear lyrics
- the paddingtons - 50 to a pound lyrics
- the paddingtons - yarmouth town cat lyrics