ephraim sekeleti - uniongoze lyrics
Loading...
uniongoze na huruma zako
usipo nibariki siwezi enda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
kwa mkono wako kweli umenibariki, ih, ih
kwa mkkono wako kweli umenibariki (2)
(baraka zako)
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
ulinichagua kabla sijazaliwa
ukanichagua nabii wa mataifa yo
utaninitangulia siatogopa chochotex2
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
tembea nami ee bwana
tembea nami baba yoo
كلمات أغنية عشوائية
- ben dorman - breathe lyrics
- b.a.johnston - i want to drink in a bar filled with aliens lyrics
- eyes wide open - cross my heart lyrics
- ruggedman - ask about us lyrics
- ralphy dreamz - se me olvidó otra vez lyrics
- bl6ke - 30 second robloxcore freestyle i made in 5 minutes lyrics
- thepoolboi - im scared of you lyrics
- blvckxng beekay - s.a.n interlude lyrics
- eliane elias - don't ever go away (por causa de voce) lyrics
- riskio - caro amico lyrics