kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

edward's okoth bryan (ethan muziki) - niangalie كلمات أغنية

Loading...

aah
aah
aah
aah (mmh, mmh)

[verse 1] [kethan & wanavokali]
kuna wenye vitabu
kuna wenye hesabu
wengine tulibarikiwa sauti na kalamu
ninavyojijua, huwa napenda hadi mwisho
kwa yale machache najivunia
moja ni kukuita w_ngu, ooh_ooh

wengi walifanya nikadhani sitawahi kupenda
ila wewe umenionyesha, ninaweza kupendwa
na wengi wakasema eti sitawahi weza kuweza
ona vile tunaishi hii life bila pressure

[pre_chorus] [wanavokali]
kama unataka, penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo_kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [kethan & wanavokali]
nia_ nia_, nia_ nia_
niangalie, niangalie
nia_ nia_, nia_ nia_
niangalie, niangalie (niangalie)
[verse 2] [kethan & wanavokali]
we wa thamani kuliko shaba
ningetamani nikuite lover
hakuna jambo linaloweza
kunitеnganisha na penzi lako
unachotaka umekipata
utapokwenda nitakufuata
i will always bе yours
you will always be mine
till the end of time

[bridge] [wanavokali]
na_aah_aah_aah_aah, nakupenda
na_aah_aah_aah_aah, nakupenda

[pre_chorus] [kethan & wanavokali]
kama unataka penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo_kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [wanavokali]
nia_, nia_ (aah_aah_aah_aah)
ooh niangalie, niangalie
nia_, nia_, ooh (nia_ nia_, aah_aah_aah_aah)
niangalie (aah, nakupenda)

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...