kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

doze doze - yammi كلمات أغنية

Loading...

[intro]
yammi yammi

[verse 1]
oooh love you babe
nioneshe mahaba unlimitedi
mwili na roho vyako babe
j_po usawa unakaba, i am ready

[pre chorus]
penzi tumelizindua kwa yasin tatu
tumejikinga na dua zidi ya macho ya watu
yeye namuaminia na simuachi katu
bure mnajisumbua, zenu papatupapatu
ahhh nipepee mwilini, joto litoke buuuu
niteke kwa maraha kama yotee tuuuu
nipepee mwilini, joto litoke buuuu
niteke kwa maraha kama yotee tuuuu

[chorus]
babe this is too much oo (doze doze)
taratibu mwaya, utaniua mwenzako (doze doze)
ahh babe this is too much oo (doze doze)
moyo w_ngu mimi, ushakua mali yako (doze doze)

[verse 2]
daddy wewe ndo unanipatia
daddy umefaulu mia ya mia
ahadii naahidi kukutumikia
ahh daddy, kuupenda kw_ngu ni sharia
aaah naapa kwa mbalamwezi na nyota za usiku
atubariki mwenyezi, penzi liwe nadhifu
[pre chorus]
penzi tumelizindua kwa yasin tatu
tumejikinga na dua zidi ya macho ya watu
yeye namuaminia na simuachi katu
bure mnajisumbua, zenu papatupapatu
ahhh nipepee mwilini, joto litoke bu
niteke kwa maraha kama yotee tu
nipepee mwilini, joto litoke bu
niteke kwa maraha kama yotee tu

[chorus]
babe this is too much oo (doze doze)
taratibu mwaya, utaniua mwenzako (doze doze)
ahh babe this is too much oo (doze doze)
moyo w_ngu mimi, ushakua mali yako (doze doze)

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...