
dlovetz - nakesha كلمات أغنية
moyo umekua sugu hadi maumivu yanadunda
siogopi waongo sipokei wakweli mapenzi yamenifunza…
tamu imekua chungu moyo ulifanywa punda
hadi mizigo ya kokoto ikanichosha mwili machozi nikafuta…
sio kama siogopi kuumia tatizo nishaumia sana
mapenzi ya maharamia nikachukia ujana
kuna muda nawaza rudia tatizo nikipenda sana
ndo nafasi wanaitumia kuniumiza mchana
na usiku usingizi sipati
nakesha (usiku nalia bahati sina)
nakesha (bora pombe mapenzi sitaki)
nakesha (ya nini kuumia bora nile dawa)
nakesha…. (mapenzi sitaki)
kila napotarajia nitafurahia ndo n_z_sisha maumivu kwa ndani mwili umekufa ganzi…
kila pendo naloingia yanajirudia kunikatisha tamaa mnyonge mwana simanzi…
kama ningeliweza kuchagua
utotoni ningeamua
bora hata nisingeyajua
yataniua mapenzi….
sio kama siogopi kuumia tatizo nishaumia sana
mapenzi ya maharamia nikachukia ujana
kuna muda nawaza rudia tatizo nikipenda sana
ndo nafasi wanaitumia kuniumiza mchana
na usiku usingizi sipati
nakesha (usiku nalia bahati sina)
nakesha (bora pombe mapenzi sitaki)
nakesha (ya nini kuumia bora nile dawa)
nakesha…. (mapenzi sitakiiii)
كلمات أغنية عشوائية
- filthy luciano - nonsense كلمات أغنية
- canaan smith - american dream كلمات أغنية
- knvck - дар или проклятье (gift or curse) كلمات أغنية
- don czn - selfish كلمات أغنية
- mickey shiloh - self care كلمات أغنية
- untamabletablez - life is short كلمات أغنية
- moneyboss - fuck yo kohai, tell that bitch i'm her senpai كلمات أغنية
- fabeldyret - sex, vold og karate كلمات أغنية
- greg mcleod - positive كلمات أغنية
- simas2600 - dinamite كلمات أغنية