dizasta vina - kesho lyrics
verse 1
kesho nafasi ya kuanza upya
k_maliza kuishi nafasi ya kuanza kufa
kuivunja sheria nafasi ya kufuata ruksa
kuik_mbuka jana au kuanza kuifuata future
future ni leo siku ambayo miti hukimbia
jua hushuka upendo, marafiki hufifia, (hufifia)
wimbi la wanafiki huingia
kesho ya tumaini hubakia
tumaini, shika walau shika walau
na ujifunze kuziba kombe pindi anapopita nyang’au
akishapita tenda wema halafu kisha sahau
na uchunge unaponena watakuzika wadau
wadau, walikua uchi ukawavika mavazi
nyumba yako ikavunjika wakakunyima hifadhi
je, utasamehe utasahau kulipa kisasi
au kesho itakukuta umeshika risasi
risasi inawaza wapi itakukutia kesho
utatoroka kambi ama utavungia ghetto
tusipofikia lengo, utahama ukoo kwa kitu kidogo au utaitumikia nembo
nembo ya mjeshi ninayekaza mwendo kishujaa
kama unavyokaza nyonga kwenye tendo la zinaa
napiga goti nashukuru uwepo wa sanaa
kihisia nawapeleka kesho majamaa
majamaa walikua wavivu hawakukazana
waliishia kuamini kuwa kuna wingu la laana
waliseti mipango ila siku hazikufanana
huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana
كلمات أغنية عشوائية
- abandon - you and me lyrics
- disabled - cirque du so gay lyrics
- dikembe - tony kukush lyrics
- toothpick - everyday and every night girl lyrics
- zz top - ii. 'mellow down easy' lyrics
- tough alliance - my hood lyrics
- torment - cry for justice lyrics
- chk chk chk - must be the moon lyrics
- toxique - soul & shine lyrics
- toots the maytals - peeping tom lyrics