
da wyre - chuki كلمات أغنية
[intro]
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
[verse 1]
ni sababu gani mwanitenda hivi
uwongo mwanena kunihusu mimi
hamnifahamu hamjui
chenye nafanya maishani
mw_ngu nyumbani
mw_ngu nyumbani
mijidai eti nyie marafiki
k_mbe nia zenu zilikuwa kundi
kunitenganisha na mpenzi
wa roho yangu na kuniacha
mashakani, taabani
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[verse 2]
mambo yenu mi sishughuliki nayo
mnavyoishi mimi sina hoja nayo
kinachonihusu si lazima
mkifahamu na kushinda
mkipiga domo
mkipiga domo
mlichotenda kw_ngu kweli hakifai
kiw_ngo cha unchungu mlinipa yaani
sina heshima kwenu tena
ukuta wa chuki mlijenga
kati mi nanyi
kati mi nanyi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[bridge]
na na na na na na…
ni shida kuamini yaani
na na na na na na…
kiw_ngo cha uchungu mlionipa
na na na na na na…
heshima kwenu mimi sina tena
na na na na na na…
basi chuki ndio mimi nahisi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
كلمات أغنية عشوائية
- soc - he got me كلمات أغنية
- instinto (panamá) - animal كلمات أغنية
- juan mendez - relajado كلمات أغنية
- miss amani - sunshine love كلمات أغنية
- vengeance (hc) - anguish كلمات أغنية
- jonathan johansson - first war كلمات أغنية
- inannanirvana - der daed كلمات أغنية
- engineers - smiling back كلمات أغنية
- zeamsone - sweet dreams كلمات أغنية
- kvelertak - delirium tremens كلمات أغنية