kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

d voice - mbwa كلمات أغنية

Loading...

[verse 1]
mwambie nishatukana mamba
na mto nimeuvuka
tena niko salama
sijadhurika wala
nishafuta na number
na wala sijamk_mbuka aa
yaani niko salama
nalishwa nalala

[pre_chorus]
niliyempata tonge busu
sio tonge ngumi
nadekezwa rahaaa
sio tena nusu nusu
huba kilo k_mi
mwenzenu nadekezwa rahaaa

[chorus]
ex mbwa
na mashoga zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
ex mbwa
na marafiki zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
[verse 2]
kwa uzuri gani mpaka nikulilie
eti nitakuk_mbuka kwani
we baba wa taifa
labda niwe nimedata
ndio nikurudie eee
sina hata cha kujuta
ndio nikupe taarifa

[bridge]
huku wali n_z_
paka chai n_z_
sio wewe komando kipensi
mandonga mtu kazi
huku wali n_z_
paka chai n_z_
sio wewe komando kipensi
mandonga mtu kazi

[pre_chorus]
niliyempata tonge busu
sio tonge ngumi
nadekezwa rahaaa
sio tena nusu nusu
huba kilo k_mi
mwenzenu nadekezwa rahaaa
[chorus]
ex mbwa
na mashoga zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)
ex mbwa
na marafiki zako (mbwa tu)
ex mbwa
na ndugu zako (mbwa tu)

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...