centano - nakupenda vibaya lyrics
nikikutazama machoni
najiona kabisa
unanivuta unanikiss
unaniambia maliza
je nikikupa nafasi
moyoni hautaniumiza
uniahidi ni kifo
kitatutenganisha
uuuh baby
nitavuka bahari hata kwa miguu
kila siku ili niwe nawe
watakutisha kwa magari
nyumba za fahari
baby usipagawee
(bridge)
namuombaga maurana aah
atuongoze usiku na mchana
kama tukiachana aah
tukutane kesho kiama
namuombaga maurana aah
atuongoze usiku na mchana
kama tukiachana aah
tukutane kesho kiama
(chorus) x
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
(verse 2)
mi sina uwezo wa kupenya moyo wako
ila najua unanipendaga
na sina jinsi kufungua moyo w_ngu
ningekuonesha kiasi gani umejaa mama
my love uuuh just tell me am the only one
my love uuuh the only thing you should be loving
uuuh until the end of time
my love aah babe usipagawee
(bridge)
namuombaga maurana aah
atuongoze usiku na mchana
kama tukiachana aah
tukutane kesho kiama
namuombaga maurana aah
atuongoze usiku na mchana
kama tukiachana aah
tukutane kesho kiama
(chorus) x
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
yeah nakupenda vibaya vibayaaa
كلمات أغنية عشوائية
- gorilla biscuit - competition lyrics
- gorilla biscuit - degradation lyrics
- gorilla biscuit - first failure lyrics
- gorilla biscuit - forgotten lyrics
- gorilla biscuit - new direction lyrics
- gorilla biscuit - stand still lyrics
- gorilla biscuit - start today lyrics
- gorilla biscuit - things we say lyrics
- gorilla biscuit - two sides lyrics
- gorillaz - 19-2000 lyrics