kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

barnaba – nampaga كلمات اغاني

Loading...

yanini mchuzi wa pweza,
bali najiweza,
na namkoleza kisawasawa,
akitaka doggy style nampaga,
miguu juu nampaga,
mikono juu nampaga, mmmmh
na nikinogewa naliaga, na kelele tunapigaga,
nampenda anipenda iyooo iyooo,
raha ya shimo kina usisiikie, raha ukifikie na usifiwe
na mwisho wa mechi upewe asante, j-po wote mlicheza,
na raha ya safari kama kufika mfike wote,
sio mwingine afike mwingine achoke, ila w-ngu mimiiii
akitaka kuchuma matembele nampagaa,
doggy style nampagaa w-ngu mimi nampagaa nampendaaaa
na nikinogewa naliaga na kelele
tunapigaga nampenda anipe iyoooo iyoooo

oooooohh nononoooooh
ngojangoja huumiza matumbo mpenzi
ila muda mwingine subira huvuta heri mpenzi
nitakupa mapumziko ukiwa mwezi
izi siku zingine we saga na lumba mpenzi nami
kuna muda nikiwa kazini nak-mic ila nawaza vingi
natamani ungekua boss
kama mwalimu unipe suspention tuwe wote muda wote masaa yote
mahaba yamenizidi wivu muda wote
nitafanya lolote usinipole choteee
raha ya shimo kina usisikie raha ukifikie na usifiwe
na mwisho wa mechi upewe asante j-po kuwa wote mlicheza
na raha ya safari kama kufika mfike wote
sio mwingine afike mwingine achoke
ila w-ngu mimi akitaka kuchuma matembele nampagaaa
doggy style nampagaaa w-ngu mimi nampagaa
na nikinogewa naliaga na kelele tunapigaga nampenda anipe iyoooyooo
mwali meng’enya
dadameng’enya kaka meng’enya kama chenga meng’enyaaaaa
iyakaaaa iyaaaah iyakaaaa toleka iyakaaaah iyaaah

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...