barakah the prince feat. alikiba – nisamehe كلمات اغاني
bado nalilia upendo oooh
na moyo w-ngu na hisi niliumbwa kukupenda
ila cjui ni nn kilichonitokea
na hayakuwa malengo kuumiza roho ya mwezangu…
mi naogopa sana yote ni majaribu
bado ni yangu ridhiki moyo unasema,
naipata taabu…
usik-mbuke mabaya k-mbuka na mema,
mwanamke akipenda wee,
ujue kama nishakwenda, anaweza kujiuwa wee, ukicheza na hisia zake.
mola ninusuru wee nilichotenda si busara haikuwa kikwakee, naomba nijaribu na ya mwisho nafasi…
na nimerudi…
naomba nisamehe nifanye nn nisamehe nifanye nn kwako wee nieleze mimerudi mama…
baby unajua unajua wewe nakupenda mpaka mi sijielewi wewe i want you back am sorry baby mi sina alichopata nilikotoka baby ukiniona mashaka tele, ugomvi kutwa nzima hata na mahaba nzima siwezi nimetoroka nikakosa na maraha tele, ya kwako nimek-mbuka kudeka na kubembelezwa ninapo kasirika ole ooh ole ooh ooh mwenzako nifanye nini nisame nifanye nini kwako wee nifanye nini nielezee
كلمات أغنية عشوائية
- truong y du › trương y du – em ngã anh nâng كلمات اغاني
- demrick › demrick – paid & out the way كلمات اغاني
- elgit doda › elgit doda – tl (toxic love) كلمات اغاني
- bradystreet › bradystreet – 아니 (no!) كلمات اغاني
- cjbeards › cjbeards – catch me كلمات اغاني
- helado negro › helado negro – mirror talk كلمات اغاني
- locoalien › locoalien – take me out كلمات اغاني
- 9800 caspeer › 9800 caspeer – cm freestyle كلمات اغاني
- neromun › neromun – cortez كلمات اغاني
- dafne castaneda › dafne castañeda – antes de nacer كلمات اغاني