
by monica bulali - nakukimbilia lyrics
Loading...
chorus
nakukimbilia ewe bwana
ninakuhitaji ewe bwana
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
stanza one
ninakuhitaji ewe bwana
tegemeo langu
ni we ni wewe
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
chorus
stanza two
wewe umekuwepo tangu mwanzo
yahweh
ngome imara ni wewe tu eeh
yale unayotenda ni ya ajabu bwana
kimbilio letu ni wewe bwana ash
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
chorus
stanza three
sijaona mungu kama wewe bwana
umeyajibu maombi yetu baba
wewe baba wa mayatima
yahweh
wewe ni mume wa wajane
yahweh
wewe ni mfalme wa mfalme
yahweh
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
ni wewe bwana
mwokozi w_ngu
Random Lyrics