
bossbele - mapenzini lyrics
verse1:
mikutano ya siri, kwenye kiza kinene
hukutaka subiri, nikamate mapenny
ungeweza kukiri, mi ningejikita kwingine
umeficha… ona muziki munene
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
verse2:
hivi ulikosa nini, kutaka kwangu upewe
kama maisha uliwini, ilibaki uolewe
mabuzi wote nchini, masharobaro mjini
bado ukang’ang’ana nami, lakini kwanini…
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi..
oh oh…
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
Random Lyrics
- aleksandra janeva - ke se vratam nekoj den lyrics
- telly grave - я не выхожу из дома (i don't leave home) lyrics
- the verve pipe - the freshmen (studio d version) lyrics
- thelma houston - there is a god lyrics
- jh floyd - jj double trouble lyrics
- vicelow - mbb lyrics
- doe boy - mob ties skit (pone speaks) lyrics
- coops - mac n cheese lyrics
- zeamsone - nocne refleksje lyrics
- r2f officiel - biso na biso lyrics