![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
blessed paul - mwamba lyrics
mbegu zilizotupwa zimemea
waliziona, uchafu kwa sinia aah
walidhanani hazifai kwa chakula
wakazitupa aah, kwa takataka!
jiwe walilolikataa aah
limetuwaa
mwamba imara
niko ndani yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
walinitupa kwa moto wakadhani mimi kwisha
hawakujua ninaye mungu moto ulao
na walinitupaaa kwenye maji mengi
nikatembea juu yake kama vile petro
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
كلمات أغنية عشوائية
- hokus pokus - sexy papi (borys lbd remix) lyrics
- ejprod - anyone (feat. bigmoley) lyrics
- redolent - space cadet lyrics
- jerry reed - the bandit lyrics
- satin cali - fool lyrics
- gustavo macedo - vício lyrics
- plazma - lady luck lyrics
- scanplug! - муа (mua) lyrics
- guga (prt) - não me atrapalha lyrics
- constant official - danseaza cu mine lyrics