
blessed paul - mwamba lyrics
mbegu zilizotupwa zimemea
waliziona, uchafu kwa sinia aah
walidhanani hazifai kwa chakula
wakazitupa aah, kwa takataka!
jiwe walilolikataa aah
limetuwaa
mwamba imara
niko ndani yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
walinitupa kwa moto wakadhani mimi kwisha
hawakujua ninaye mungu moto ulao
na walinitupaaa kwenye maji mengi
nikatembea juu yake kama vile petro
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w_ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
Random Lyrics
- супермаргиналы (supermarginali) - панацея (panacea) lyrics
- closed_door (rus) - bugs lyrics
- bits of alan - queen v dudley lyrics
- louane - quand tu mens lyrics
- matheus mantovani - i've been wandering lyrics
- nova skye - blisters - demo lyrics
- fallen777angel - парусиг (acoc) lyrics
- 釈迦坊主 (shaka bose) - pandemonium lyrics
- pete seeger, lorre wyatt - fields of harmony lyrics
- frith hilton - greener lyrics