
ben pol - wapo lyrics
its bob maneke
eltianam
usiku wa mananeeeeh jua kali likawaka
hali ambayo sikuizoea ivyo ilinipa mashaka
sikutaka tugombaneeeeeh yeye ndo alitaka
akawa ananililia eti anataka talaka
lile ua letu lote la upendo ndo likanyaukaah
aaaaaah eeeeh
nilitaka kua chizi maaawe ningeweuka
nikasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
nlikonda kwa mawazo nlikosa raha nlipata wasiwasi
ila nlijipa moyo natupa jiwe ntapata almasi
saa nyingine nilifumba ata macho namuona yeye
ilinipa tabu kusahau moyoni alikuaaa. ah
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
nasema tulia tulia moyo aya ya dunia yasikutishe wala
yani tulia tulia moyo aya ya dunia yasikunyime amani
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
wengine wapo wapo wapo
mapenzi yapo yapo yapo tu
yapoooo tuuuuuuu
Random Lyrics
- yung trappa - везде-везде (everywhere) lyrics
- rasdore - kим кардашьян lyrics
- black trip (metal) - no tomorrow lyrics
- our last night - humble. lyrics
- lana del rey - the next best american record lyrics
- black therapy - desert blood lyrics
- janji - heroes tonight lyrics
- claudio botelho - olha bem pra mim lyrics
- luvandreas - stuck up man lyrics
- mr traumatik - lets get frisky lyrics