barakah the prince - nisamehe كلمات أغنية
[intro]
baby turuuh
uhm_uhm_uhm
umh, nisamehe
nisamehe, samehe
ema the boy
nisamehe, samehe
[verse 1 : barakah the prince]
bado nalilia upendo huu
na moyo w_ngu unahisi niliumbwa kukupenda
ila sijui nini kilichonitokea
na haya kuwa malengo oh
kuumiza roho ya mwenzangu, mi naogopa sana
yote ni majaribu, bado ni yangu riziki moyo unasema
naipata tabu, usik_mbuke mabaya
k_mbuka na mema
mwanamke akipenda wee
ujue kama anamaanisha ukweli
anaweza kujiua wee
ukicheza na hisia zake
mola ninusuru wee, nilichotenda si busara
haikuwa haki kwake yeye
naomba nijaribu ya mwisho nafasi
na nimerudi
[chorus : barakah the prince]
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
na nimerudi
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
naomba nisamehe, nisamehe
mwenzako mi nifanye nini?
nisamehe
nifanye nini kwako wee
nifanye nini nieleze
nimerudi mama
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
na nimerudi
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
naomba nisamehe, nisamehe
mwenzako mi nifanye nini?
nisamehe
nifanye nini kwako wee
nifanye nini nieleze
nimerudi mama
[verse 2 : alikiba]
hivi unajua wajua wewe
kukupenda
mpaka mimi sijielewi waah
i want you back, i am sorry baby
sina nilichopata, nilikotoka baby waah
kero na mashaka tele
ugomvi kutwa nzima
hata na mahaba zile
siwezi nimetoroka
nikakosa na maraha tele
ya kwako nimek_mbuka
kudekwa na kubembelezwa
ninapokasirika
[chorus : barakah the prince]
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
na nimerudi
ole_oh ole_oh ole_oh ole_oh
naomba nisamehe, nisamehe
mwenzako mi nifanye nini?
nisamehe
nifanye nini kwako wee
nifanye nini nieleze
nimerudi mama
[outro]
nifanye nini ah mama
كلمات أغنية عشوائية
- badi assad - o que seria? كلمات أغنية
- el chapo de sinaloa - ella necesita كلمات أغنية
- vixe mainha - fora daqui كلمات أغنية
- carlos lyra - lá vou eu كلمات أغنية
- fernando iglesias - eu quero ver cristo كلمات أغنية
- rebanhão - noiva كلمات أغنية
- aline barros - chuá, chuá كلمات أغنية
- ybn cordae - bad idea كلمات أغنية
- zumbi do mato - o espírito do rato كلمات أغنية
- fernando iglesias - falta você كلمات أغنية