
alikiba - mahaba كلمات أغنية
siku hizi hakuna mahaba
yeah, mahaba
mapenzi ya mkataba
mpaka kufa, yamekwisha
ni neema ukiwa unahema
mapenzi yanachosha, yanafuja raha
nafsi yangu inasema
bora nimpende tu alionizaa
uchungu wa kulia daily
mapenzi yalinifanya nisile
sina k_mbuk_mbu ile
kwamba ulinikosha, no!
uchungu wa kulia daily
mapenzi yalinifanya nisile
sina k_mbuk_mbu ile
yakwamba ulinikosha, no!
mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefuf_ka, yeah
mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, nimefuf_ka, yeah
s’kiza kwanza we dada
we dada
mi’ sio mgeni alishanikaba
mapenzi yalinikausha
natamani kuwa single
ila nna_upwilu unakaba koo
mabinti wenye vifundo
hao ndio mi’ wananitoa roho
na siri juu ya jambo lile
ni kama chakula lazima nile
mi’ mbovu sana wa jambo lile
na ufundi wa kutosha, ooh
na siri yake tuu jambo lile
ni kama chakula lazima nile
mi’ mbovu sana wa jambo lile
na ufundi wa kutosha, ooh
mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefuf_ka, yeah
mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, nimefuf_ka, yeah
كلمات أغنية عشوائية
- allie x - seventh floor كلمات أغنية
- егор летов (egor letov) - парадокс (paradox) (cikcv) كلمات أغنية
- shigge - rebound babe كلمات أغنية
- venee - в деле (in action) كلمات أغنية
- mazh - останешься كلمات أغنية
- gabriel delfito - fica pra sempre كلمات أغنية
- lucie vondráčková - vždycky všechno nejde كلمات أغنية
- warkings - kingdom come كلمات أغنية
- daidough - march madness كلمات أغنية
- tha god fahim & richard milli - supreme court كلمات أغنية