kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

alikiba - acoustic كلمات أغنية

Loading...

intro
yeah!
yeah, baba
(la_la, la_la_la_la, la_la, la_la_la_la)
(mafeeling make it)
verse
najiona wa ajabu, eh
nikijitazama, hivi naota, ah, ama nachanganyikiwa?
joto nalo lashuka degree, waliniliza tbt
na moyo w_ngu nishakupana
chorus
na wewe ndio nahodha wa meli yangu
huhitaji cv, oh_oh_oh
atukinge ya ilahi tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine
hook
maana, najiona, nachanganyikiwa, oh, nyikiwa
ndama, nanona, nanyonyeshwa maziwa, oh, maziwa, o_ho
(la_la, la_la_la_la, la_la, la_la_la_la)
verse
ah! kama mapenzi ni jihad, tuko peponi
kwa jinsi tulivyopambana na hali, yetu rohoni
kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
wanaosubiri tuachane hata kesho, sisi bado
bridge
sisi bado (la_la, la_la_la_la)
oh_oh_oh
oh, sisi bado (la_la) kuachana sisi bado (kuachana sisi bado)
sisi bado, oh, oh, oh, ooh, woah
sisi bado, oh_oh
chorus
kwani na wewe ndio nahodha wa meli yangu
huhitaji cv, oh_oh_oh
atukinge ya ilahi tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
hook
maana, najiona, nachanganyikiwa ′oh, nyikiwa
ndama, nanona, nanyonyeshwa maziwa, oh, maziwa, o_ho
(la_la, la_la_la_la, la_la, la_la_la_la)
outro
(la_la, la_la_la_la, la_la, la_la_la_la)
(the mix k!ller)

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...