ali kiba - nahodha كلمات الأغنية
[intro]
yo!
yeah, baba
ma feeling make it
[verse 1]
najiona wa ajabu, eh
nikijitazama
hivi naota, ah
ama nachanganyikiwa?
joto nalo la shuka digiri
waliniliza tbt
na moyo w_ngu nishakupa na’
[chorus]
na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post_chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
[bridge]
(ah!)
[verse 2]
kama mapenzi ni jihad
tuko peponi
kwa jinsi tulivyo pambana na hali, ‘yetu rohoni
kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
wanaosubiri tuachane hata kesho
sisi bado
[pre_chorus]
sisi bado
oh, oh, oh
oh, sisi bado
kuachana sisi bado
sisi bado, woah, woah, oh, wah
sisi bado, woah
[chorus]
kwani na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post_chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
oh, ah
the mix k!ller
كلمات أغنية عشوائية
- soosie - now you exist and i will never feel alone كلمات الأغنية
- joe ferrari - star spangled banner كلمات الأغنية
- 3xtekks - ##t∀ke i┴ كلمات الأغنية
- d.a.r.i.o. & prod by marrcello - nacht كلمات الأغنية
- maria devigili - frammento كلمات الأغنية
- paxton - under my skin كلمات الأغنية
- belle gonzalez - michael كلمات الأغنية
- gxost - if you want to then do it كلمات الأغنية
- k.a.a.n. - birds nest كلمات الأغنية
- kontra k - was echtes (snippet) كلمات الأغنية