
ali kiba - nahodha كلمات أغنية
[intro]
yo!
yeah, baba
ma feeling make it
[verse 1]
najiona wa ajabu, eh
nikijitazama
hivi naota, ah
ama nachanganyikiwa?
joto nalo la shuka digiri
waliniliza tbt
na moyo w_ngu nishakupa na’
[chorus]
na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post_chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
[bridge]
(ah!)
[verse 2]
kama mapenzi ni jihad
tuko peponi
kwa jinsi tulivyo pambana na hali, ‘yetu rohoni
kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
wanaosubiri tuachane hata kesho
sisi bado
[pre_chorus]
sisi bado
oh, oh, oh
oh, sisi bado
kuachana sisi bado
sisi bado, woah, woah, oh, wah
sisi bado, woah
[chorus]
kwani na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post_chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
oh, ah
the mix k!ller
كلمات أغنية عشوائية
- calibro - 1999 كلمات أغنية
- keegan mackay - hot for my homie (demo) كلمات أغنية
- ini - mind over matter كلمات أغنية
- die antwoord - dis iz why i'm hot (zef remix) كلمات أغنية
- matteus heyez - abracadabra كلمات أغنية
- daz dillinger - when ya lease expected it كلمات أغنية
- dan-e-o - t.n.t. كلمات أغنية
- tom petty - about to give out كلمات أغنية
- pede b - jeg har en ven كلمات أغنية
- kool keith - fly ass nigga كلمات أغنية