kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

ali kiba - bailando كلمات أغنية

Loading...

[intro]
yo!
african princess

[verse 1: alikiba]
naugua
naugua
kukupenda naugua
nakupa yako maua
kunipenda, umejua

[verse 2: nandy]
naugua
naugua
kukupenda naugua
nakupa yako maua
kunipenda, umejua

[verse 3: alikiba]
roho yangu [suru?]
kwa mwingine sitamani
mi umenijaa moyoni
nakupenda, hayawani

[verse 4: nandy]
mi pembeni sitazami
umenizidi mzani
hoi, oh, bin taabani
na sijutii asilani
[pre_chorus: alikiba & nandy]
wewe umeniathiri
tabia umenibadili
mwenyewe si unaona?
ah, ah, ah
tumelandana mwili
utambi na [kandiri]
mwenyewe si unaona?, ah
naona

[chorus: nandy & alikiba]
bailando (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
bailando, oh (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
mi amor, oh, oh, mi amor
bai…
bailando

[verse 5: alikiba]
haste, haste na kipira, baby
moyo unadunda kwa gredi
ai, mwenzako na dead
ufundi ka tuko gereji

[verse 6: nandy]
ah, si utaniua, baby?
moyo unadunda kwa gredi
haya unayonipa mapenzi
umeniweza
[bridge: alikiba & nandy]
mwenzako mimi
(nani wewe)
moyo w_ngu
(moyo wako)
nia yangu
(nia yako)
mpaka mwisho
(mpaka kifo)

[pre_chorus: alikiba & nandy]
wewe umeniathiri
tabia umenibadili
mwenyewe si unaona?
ah, ah, ah
tumelandana mwili
utambi na [kandiri]
mwenyewe si unaona?, ah
naona

[chorus: nandy & alikiba]
bailando (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
bailando, oh (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
mi amor, oh, oh, mi amor
bai…
bailando

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...