adasa - say yes كلمات الأغنية
[intro]
hewa, hewa, hewa
hewa, hewa, hewa
hewa, hewa, hewa
[verse 1]
napokutazama kwa macho
nataraji useme utakacho
tubadilishane mawazo mmh
napata faraja unenapo
nakosa faraja uwazapo
niko hapa kutimiza utakalo
iyaa baby
nafahamu fikra we ndo chaguo langu
mwenye kujali hisia zangu
nafahamu fikra we ndo ubavu w_ngu
[bridge]
basi nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik_mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (dadii ii)
nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik_mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (daddy, dadiii)
[chorus]
say yes, say yes
say yes, say yes
[verse 2]
nimesubiri sana siku kama hii
mwenzangu sema ndio
nipende mimi usibadili mawazo
aaah eeh
nilivyokwisha kwako jinsi namna hii
usiniache na kilio
fanya hima mpenzi, hima
nakusubiri yaani
niko na hamu gani
nataka useme nami
uliyoficha yaani
yaweke hadharani
yaliyojaa dhamani
nifurahiе jamani
nakupenda mwandani
[bridge]
basi nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik_mbatiе usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (dadii ii)
nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik_mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (daddy, dadiii)
[chorus]
say yes, say yes
say yes, say yes
sema nami mpenzi
sema nami
كلمات أغنية عشوائية
- ashley monroe - jubilee كلمات الأغنية
- kingudee - cool kids كلمات الأغنية
- beezy tha rapper - super saiyan 4 (ssj4) كلمات الأغنية
- skyblew - just in time كلمات الأغنية
- ry - gang love كلمات الأغنية
- riga tiger - post-utekvällblues كلمات الأغنية
- young jay - drama season كلمات الأغنية
- lord veejay - cooling me down كلمات الأغنية
- brxkenshire - gone (interlude) كلمات الأغنية
- sean nelson - daddy's song كلمات الأغنية